Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imezindua mkakati wa kutekeleza zaidi ya miradi 30 mipya ya umwagiliaji katika mwaka wa fedha 2026/27, huku ikitarajia kuajiri kati ya vijana 2,000 na 4,000 kupitia mpango wa uchimbaji wa visima na usimamizi...
Na Mwandishi Wetu,Dodoma
Chama Kikuu cha Ushirika cha TAMKU kimeanza kutekeleza mkakati wa kupanua uwekezaji wake katika mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo, ikiwemo usafirishaji, uhifadhi na uchakataji wa korosho, hatua inayolenga kuongeza mapato ya wakulima na thamani ya mazao nchini.
Akizungumza katika Maonesho ya...
2–3 September 2026 | Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds, Dar es Salaam, Tanzania
Africa's agriculture, livestock, and food processing sectors are entering a new era of growth and this September, the industry's biggest players will gather under one roof in Dar es Salaam. The...
Date: 2 September 2026Time: 9:00 AM – 5:30 PM (GMT+3, East Africa Time)Venue: Dar es Salaam, Tanzania
Conference Theme:Driving Africa’s Agri-Food and Livestock Transformation through Innovation, Technology, Investment & Sustainability
The conference will commence with participant registration, followed by the official Opening Ceremony featuring welcome remarks...
Na Mwandishi Wetu, FAMA
SERIKALI imesema suala la uchanjaji wa mifugo bado lipo nchini hivyo imepanga kushirikiana na sekta binafsi kufanya kampeni ya chanjo nchi nzima ili kuokoa mifugo hiyo.
Hayo ameeezwa leo Septemba 6, 2023 jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,...
Na Mwandishi Wetu, FAMA
MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema Serikali imeweka mikakati itakayotekeleza nchi kuwa kitovu cha chakula Afrika na duniani kote ili iweze kunufaika na tishio la njaa linalo ikabili dunia.
Mikakati hiyo ni pamoja ile ya kibajeti, kisera, teknolojia, kiuwekezaji...