27.6 C
Dar es Salaam
HomeMwelekeo

Mwelekeo

NIRC yazindua miradi 30 ya umwagiliaji, yachochea ajira

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imezindua mkakati wa kutekeleza zaidi ya miradi 30 mipya ya umwagiliaji katika mwaka wa fedha 2026/27, huku ikitarajia kuajiri kati ya vijana 2,000 na 4,000 kupitia mpango wa uchimbaji wa visima na usimamizi...

TAMKU yatanua uwekezaji, kujenga kiwanda cha korosho Tunduru

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Chama Kikuu cha Ushirika cha TAMKU kimeanza kutekeleza mkakati wa kupanua uwekezaji wake katika mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo, ikiwemo usafirishaji, uhifadhi na uchakataji wa korosho, hatua inayolenga kuongeza mapato ya wakulima na thamani ya mazao nchini. Akizungumza katika Maonesho ya...

Africa’s Premier Agriculture Event

2–3 September 2026 | Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds, Dar es Salaam, Tanzania Africa's agriculture, livestock, and food processing sectors are entering a new era of growth and this September, the industry's biggest players will gather under one roof in Dar es Salaam. The...

Africa’s Agri-Expo 2026 Conference Agenda

Date: 2 September 2026Time: 9:00 AM – 5:30 PM (GMT+3, East Africa Time)Venue: Dar es Salaam, Tanzania Conference Theme:Driving Africa’s Agri-Food and Livestock Transformation through Innovation, Technology, Investment & Sustainability The conference will commence with participant registration, followed by the official Opening Ceremony featuring welcome remarks...

Ulega: Uchanjaji wa mifugo bado unasuasua

Na Mwandishi Wetu, FAMA SERIKALI imesema suala la uchanjaji wa mifugo bado lipo nchini hivyo imepanga kushirikiana na sekta binafsi kufanya kampeni ya chanjo nchi nzima ili kuokoa mifugo hiyo. Hayo ameeezwa leo Septemba 6, 2023 jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,...

Tanzania kuwa kitovu cha chakula Afrika

Na Mwandishi Wetu, FAMA MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema Serikali imeweka mikakati itakayotekeleza nchi kuwa kitovu cha chakula Afrika na duniani kote ili iweze kunufaika na tishio la njaa linalo ikabili dunia. Mikakati hiyo ni pamoja ile ya kibajeti, kisera, teknolojia, kiuwekezaji...