Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAKULIMA nchini wamehimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga ya asili, magonjwa na wadudu waharibifu, hatua itakayowasaidia kulinda uwekezaji wao na kuendelea na uzalishaji hata wanapokumbwa na changamoto.
Wito huo umetolewa katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima 'Nanenane' yanayoendelea jijini...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Bodi ya Chai Tanzania imewahamasisha Watanzania kujenga utamaduni wa kunywa chai inayozalishwa nchini, ikisema matumizi ya...