Na Mwandishi Wetu, FAMA
SERIKALI imesema suala la uchanjaji wa mifugo bado lipo nchini hivyo imepanga kushirikiana na sekta binafsi kufanya kampeni ya chanjo nchi nzima ili kuokoa mifugo hiyo.
Hayo ameeezwa leo Septemba 6, 2023 jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulenga wakati akifungua mkutano...
*Alko Vintages yajikita kuwekeza nguvu kuinua uzalishaji zabibu
Na Mwandishi Wetu, FAMA
WAKATI wakulima wa zabibu wakiendelea kulalama kwa kukosa wataalam...