Na Mwandishi Wetu, Kilosa
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi wa Jimbo la Kilosa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano huku wakiepuka vitendo vya uhalifu vinavyohatarisha usalama wa jamii na kudhoofisha shughuli...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imezindua mkakati wa kutekeleza zaidi ya miradi 30 mipya ya umwagiliaji katika mwaka wa fedha 2026/27, huku ikitarajia kuajiri kati ya vijana 2,000 na 4,000 kupitia mpango wa uchimbaji wa visima na usimamizi...
Date: 2 September 2026Time: 9:00 AM – 5:30 PM (GMT+3, East Africa Time)Venue: Dar es Salaam, Tanzania
Conference Theme:Driving Africa’s Agri-Food and Livestock Transformation through Innovation, Technology, Investment & Sustainability
The conference will commence with participant registration, followed by the official Opening Ceremony featuring welcome remarks...
The 10th Africa Agri Expo, co-located with the 3rd Future Food Livestock & Poultry Expo — 2nd & 3rd September 2026, Dar-es-Salaam, Tanzania.
After nine successful editions that have brought together farmers, agribusiness leaders, investors, policymakers, and innovators from across the globe, the Africa Agri...
Na Samwel Mwanga, Maswa
HALMASHAURI ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imejipanga kuongeza uzalishaji wa zao la pamba kwa msimu wa mwaka 2023/2024 kwa kulima hekta 60,438 kwa uzalishaji wa wastani wa kilo 400 kwa ekari moja lengo likiwa ni kuwainua wananchi kiuchumi....
Na Mwandishi Wetu, FAMA
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewataka wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwani kuna fursa nyingi na kwa ajili ya kumsaidia mkulima mdogo ili kuweza kufanya kilimo chenye tija na kulifanya Bara la Afrika kujitegemea kwenye chakula hata yanapotokea majanga Duniani.
Akizungumza Septemba 5,...