Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAKULIMA nchini wamehimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga ya asili, magonjwa na wadudu waharibifu, hatua itakayowasaidia kulinda uwekezaji wao na kuendelea na uzalishaji hata wanapokumbwa na changamoto.
Wito huo umetolewa katika Maonesho ya Kitaifa...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Bodi ya Chai Tanzania imewahamasisha Watanzania kujenga utamaduni wa kunywa chai inayozalishwa nchini, ikisema matumizi ya kinywaji hicho yana faida mbalimbali za kiafya na yanaweza pia kuchochea ukuaji wa sekta ya chai na uchumi wa taifa.
Akizungumza katika Maonesho ya Kitaifa ya...
Na Mwandishi Wetu, FAMA
MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema Serikali imeweka mikakati itakayotekeleza nchi kuwa kitovu cha chakula Afrika na duniani kote ili iweze kunufaika na tishio la njaa linalo ikabili dunia.
Mikakati hiyo ni pamoja ile ya kibajeti, kisera, teknolojia, kiuwekezaji...
Na Samwel Mwanga, Maswa
HALMASHAURI ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imejipanga kuongeza uzalishaji wa zao la pamba kwa msimu wa mwaka 2023/2024 kwa kulima hekta 60,438 kwa uzalishaji wa wastani wa kilo 400 kwa ekari moja lengo likiwa ni kuwainua wananchi kiuchumi....
Na Mwandishi Wetu, FAMA
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli ametoa rai kwa wakulima nchini kuendelea kuweka akiba ya mazao ya chakula kwa ajili ya kukidhi familia zao pamoja na Serikali kufungua wigo kwa wakulima kufanya kilimo biashara kwa kuuza mazao yao nje ya...
Na Mwandishi Wetu, FAMA
Sehemu ya mahojiano ya Wahariri wa FAMA na Mtaalamu na mshauri wa uzalishaji wa mifugo katika shamba la mifugo la ASAS (ASAS Dairy Farm) lililopo Idingilanyi, Iringa, Dk. Isaya Ketto.
Swali: Bwana Keto hebu tuambie shughuli za hapa
DK. KETTO: Katika mashamba ya...