22.9 C
Dar es Salaam
HomeMahojiano

Mahojiano

Wakulima wahimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo kujikinga na hasara

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKULIMA nchini wamehimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga ya asili, magonjwa na wadudu waharibifu, hatua itakayowasaidia kulinda uwekezaji wao na kuendelea na uzalishaji hata wanapokumbwa na changamoto. Wito huo umetolewa katika Maonesho ya Kitaifa...

Bodi ya Chai yahamasisha matumizi ya chai kwa manufaa ya afya

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Bodi ya Chai Tanzania imewahamasisha Watanzania kujenga utamaduni wa kunywa chai inayozalishwa nchini, ikisema matumizi ya kinywaji hicho yana faida mbalimbali za kiafya na yanaweza pia kuchochea ukuaji wa sekta ya chai na uchumi wa taifa. Akizungumza katika Maonesho ya Kitaifa ya...

Tanzania kuwa kitovu cha chakula Afrika

Na Mwandishi Wetu, FAMA MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema Serikali imeweka mikakati itakayotekeleza nchi kuwa kitovu cha chakula Afrika na duniani kote ili iweze kunufaika na tishio la njaa linalo ikabili dunia. Mikakati hiyo ni pamoja ile ya kibajeti, kisera, teknolojia, kiuwekezaji...

Maswa yajipanga kuongeza uzalishaji zao la pamba

Na Samwel Mwanga, Maswa HALMASHAURI ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imejipanga kuongeza uzalishaji wa zao la pamba kwa msimu wa mwaka 2023/2024 kwa kulima hekta 60,438 kwa uzalishaji wa wastani wa kilo 400 kwa ekari moja lengo likiwa ni kuwainua wananchi kiuchumi....

Wakulima wekeni akiba ya chakula-Serikali

Na Mwandishi Wetu, FAMA Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli ametoa rai kwa wakulima nchini kuendelea kuweka akiba ya mazao ya chakula kwa ajili ya kukidhi familia zao pamoja na Serikali kufungua wigo kwa wakulima kufanya kilimo biashara kwa kuuza mazao yao nje ya...

Mahojiano ya Wahariri wa FAMA na Mtaalamu na mshauri wa uzalishaji wa mifugo ASAS Dairy Farm-ll

Na Mwandishi Wetu, FAMA Sehemu ya mahojiano ya Wahariri wa FAMA na Mtaalamu na mshauri wa uzalishaji wa mifugo katika shamba la mifugo la ASAS (ASAS Dairy Farm) lililopo Idingilanyi, Iringa, Dk. Isaya Ketto. Swali: Bwana Keto hebu tuambie shughuli za hapa DK. KETTO: Katika mashamba ya...