Na Mwandishi Wetu, Kilosa
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Prof. Palamagamba Kabudi, amewataka wananchi wa Jimbo la Kilosa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano huku wakiepuka vitendo vya uhalifu vinavyohatarisha usalama...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAKULIMA nchini wamehimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga ya asili, magonjwa na wadudu waharibifu, hatua itakayowasaidia kulinda uwekezaji wao na kuendelea na uzalishaji hata wanapokumbwa na changamoto.
Wito huo...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imezindua mkakati wa kutekeleza zaidi ya miradi 30 mipya ya umwagiliaji katika mwaka wa fedha 2026/27, huku ikitarajia kuajiri kati ya vijana 2,000 na 4,000 kupitia mpango wa...
Na Mwandishi Wetu,Dodoma
Chama Kikuu cha Ushirika cha TAMKU kimeanza kutekeleza mkakati wa kupanua uwekezaji wake katika mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo, ikiwemo usafirishaji, uhifadhi na uchakataji wa korosho, hatua inayolenga kuongeza mapato ya wakulima na thamani ya...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Bodi ya Chai Tanzania imewahamasisha Watanzania kujenga utamaduni wa kunywa chai inayozalishwa nchini, ikisema matumizi ya kinywaji hicho yana faida mbalimbali za kiafya na yanaweza pia kuchochea ukuaji wa sekta ya chai na uchumi wa taifa.
Akizungumza...
2–3 September 2026 | Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds, Dar es Salaam, Tanzania
Africa's agriculture, livestock, and food processing sectors are entering a new era of growth and this September, the industry's biggest players will gather under one roof...